Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 26.3
Bible en Swahili de l’est


Prière de l’homme intègre

1 Ee Bwana, unihukumu mimi, Maana nimekwenda kwa ukamilifu wangu, Nami nimemtumaini Bwana bila wasiwasi.
Psaumes 7.8 Psaumes 28.7 Proverbes 20.7 2 Rois 20.3 Psaumes 62.2
2 Ee Bwana, unijaribu na kunipima; Unisafishe mtima wangu na moyo wangu.
Psaumes 7.9 Psaumes 17.3 Zacharie 13.9 Job 31.4-31.6 Jérémie 20.12
3 Maana fadhili zako zi mbele ya macho yangu, Nami nimekwenda katika kweli yako.
2 Rois 20.3 Esaïe 8.20 3 Jean 1.11 Psaumes 25.5 Psaumes 101.2
4 Sikuketi pamoja na watu wa ubatili, Wala sitaingia mnamo wanafiki.
Psaumes 1.1 Jérémie 15.17 Psaumes 119.115 Proverbes 13.20 Proverbes 9.6
5 Nimelichukia kusanyiko la watenda mabaya, Wala sitaketi pamoja na watu waovu.
Psaumes 31.6 Psaumes 139.21-139.22 Psaumes 101.3-101.8 1 Corinthiens 5.9-5.11 Psaumes 1.1
6 Nitanawa mikono yangu kwa kutokuwa na hatia, Na kuizunguka madhabahu yako, Ee Bwana
Psaumes 73.13 Psaumes 43.4 Exode 30.19-30.20 1 Corinthiens 11.28-11.29 Tite 3.5
7 Ili niitangaze sauti ya kushukuru, Na kuzisimulia kazi zako za ajabu.
Psaumes 9.1 2 Chroniques 20.26-20.29 Psaumes 100.4-100.5 Psaumes 116.12-116.14 Psaumes 66.13-66.15
8 Bwana, nimependa makao ya nyumba yako, Na mahali pa maskani ya utukufu wako.
Luc 2.49 Jean 2.14-2.17 2 Samuel 15.25 Esaïe 38.22 Psaumes 84.10
9 Usiiondoe nafsi yangu pamoja na wakosaji, Wala uhai wangu pamoja na watu wa damu.
Psaumes 139.19 Psaumes 51.14 Psaumes 55.23 2 Samuel 21.1 2 Samuel 16.7
10 Mikononi mwao mna madhara, Na mkono wao wa kuume umejaa rushwa.
Deutéronome 16.19 1 Samuel 8.3 Exode 23.8 Amos 5.12 Proverbes 1.16
11 Ila mimi nitakwenda kwa ukamilifu wangu; Unikomboe, unifanyie fadhili.
Psaumes 69.18 Psaumes 26.1 Esaïe 38.3 Psaumes 49.7 1 Pierre 1.18-1.19
12 Mguu wangu umesimama palipo sawa; Katika makusanyiko nitamhimidi Bwana.
Psaumes 27.11 Psaumes 40.2 Psaumes 111.1 Proverbes 10.9 Psaumes 107.32

Cette Bible est dans le domaine public.