Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 43.17
Bible en Swahili de l’est


1 Ee Bwana, unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki, Uniokoe na mtu wa hila asiye haki.Psaumes 26.1 1 Samuel 24.15 Psaumes 35.1 Psaumes 7.8 Psaumes 5.6
2 Kwa kuwa Wewe ndiwe Mungu uliye nguvu zangu; kwa nini umenitupa? Kwa nini ninakwenda nikihuzunika, adui wakinionea?Psaumes 42.9 Psaumes 44.9 Psaumes 28.7 Ephésiens 6.10 Psaumes 94.14
3 Niletewe nuru yako na kweli yako ziniongoze, Zinifikishe kwenye mlima wako mtakatifu na hata maskani yako.Psaumes 2.6 Psaumes 3.4 Psaumes 84.1 Psaumes 40.11 Jean 1.17
4 Hivyo nitakwenda madhabahuni kwa Mungu, kwa Mungu aliye furaha yangu na shangwe yangu; Nitakusifu kwa kinubi, Ee MUNGU, Mungu wangu.Psaumes 57.8 Habakuk 3.17-3.18 Psaumes 71.22-71.23 Apocalypse 5.8 Psaumes 116.12-116.19
5 Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.Psaumes 42.5 Psaumes 42.11

Cette Bible est dans le domaine public.