Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 110.7
Bible en Swahili de l’est


Le Messie, roi et prêtre

1 Neno la Bwana kwa Bwana wangu, Uketi mkono wangu wa kuume, Hata niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.
Hébreux 10.12-10.13 1 Corinthiens 15.25 Ephésiens 1.20-1.22 Luc 20.42-20.43 Hébreux 1.13
2 Bwana atainyosha toka Sayuni Fimbo ya nguvu zako. Uwe na enzi kati ya adui zako;
Matthieu 28.18-28.20 Ezéchiel 19.14 Esaïe 2.3 1 Pierre 1.12 2 Corinthiens 10.4-10.5
3 Watu wako wanajitoa kwa hiari, Siku ya uwezo wako; Kwa uzuri wa utakatifu, Tokea tumbo la asubuhi, Unao umande wa ujana wako.
Juges 5.2 Psaumes 96.9 Tite 2.14 Galates 1.15-1.16 Hébreux 13.21
4 Bwana ameapa, Wala hataghairi, Ndiwe kuhani hata milele, Kwa mfano wa Melkizedeki.
Hébreux 7.17 Hébreux 5.6 Hébreux 7.21 Nombres 23.19 Genèse 14.18
5 Bwana yu mkono wako wa kuume; Ataseta wafalme, Siku ya ghadhabu yake.
Psaumes 16.8 Romains 2.5 Psaumes 68.14 Psaumes 2.2-2.6 Actes 7.55-7.56
6 Atahukumu kati ya mataifa, Ataijaza nchi mizoga; Ataseta kichwa katika nchi nyingi.
Esaïe 2.4 Psaumes 68.21 Michée 4.3 Esaïe 11.3 Esaïe 66.16-66.17
7 Atakunywa maji ya mto njiani; Kwa hiyo atakiinua kichwa chake.
Juges 7.5-7.6 Psaumes 27.6 Jean 18.11 Esaïe 53.11-53.12 Psaumes 102.9

Cette Bible est dans le domaine public.