Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 52
Bible en Swahili de l’est


1 Kwa nini kujisifia uovu, Ewe jabari? Wema wa Mungu upo sikuzote. Psaumes 94.4 1 Samuel 21.7 Psaumes 107.1 Psaumes 103.17 Esaïe 59.4
2 Ulimi wako watunga madhara, Kama wembe mkali, Ewe mwenye hila Proverbes 18.21 Psaumes 57.4 Proverbes 12.18 Psaumes 59.7 2 Corinthiens 4.2
3 Umependa mabaya kuliko mema, Na uongo kuliko kusema kweli. Jérémie 9.8 Jérémie 9.3-9.5 Michée 3.2 Jérémie 4.22 Jean 8.44
4 Umependa maneno yote ya kupoteza watu, Ewe ulimi wenye hila. Psaumes 120.3 Jacques 3.6-3.9 1 Samuel 22.18-22.19
5 Lakini Mungu atakuharibu hata milele; Atakuondolea mbali; Atakunyakua hemani mwako; Atakung’oa katika nchi ya walio hai. Psaumes 27.13 Proverbes 2.22 Proverbes 19.9 Job 18.14 Psaumes 7.14-7.16
6 Nao wenye haki wataona; Wataingiwa na hofu na kumcheka; Psaumes 40.3 Psaumes 37.34 Job 22.19 Apocalypse 16.5-16.7 Psaumes 97.8
7 Kumbe! Huyu ndiye mtu yule, Asiyemfanya Mungu kuwa nguvu zake. Aliutumainia wingi wa mali zake, Na kujifanya hodari kwa madhara yake. Osée 12.7-12.8 Jean 19.5 Ecclésiaste 8.8 Psaumes 62.9-62.10 Jérémie 17.5
8 Bali mimi ni kama mzeituni Umeao katika nyumba ya Mungu. Nazitumainia fadhili za Mungu milele na milele. Jérémie 11.16 Psaumes 92.12-92.14 Psaumes 13.5 Psaumes 1.3 Psaumes 128.3
9 Nitakushukuru milele kwa maana umetenda; Nitalingojea jina lako kwa kuwa ni jema; Mbele ya wacha Mungu wako. Psaumes 54.6 Psaumes 48.9-48.10 Psaumes 62.1 Psaumes 62.5 Psaumes 40.1

Cette Bible est dans le domaine public.